Biographie de Winfrid Luoga
Winfrid Luoga ni kijana aliezaliwa wilaya ya Mbinga. Alianza safari yake ya masomo katika shule ya msingi Litundu iliyopo wilaya ya Mbinga Kijiji Cha Kindimba Juu na kuendelea na masomo yake ya sekondari katika shule ya sekondari Ruanda na Tosamaganga. Alijiunga na Chuo kikuu Cha Dodoma mwaka 2012 akisomea elimu maalum na uchumi na kupata shahada yake ya kwanza ya heshima mwaka 2015.